BUCKET BAGS/MIKOBA AINA YA NDOO

Mansur Gabriel's ndo mbunifu wa mikoba aina hii,mikoba hii imekaa Kama ndoo yani muonekano wake Kama ndoo na ipo tofauti kabisa na aina nyingine nyingi za mikoba tuliyoizoea. Mikoba hii ipo ya aina tofauti na ukubwa tofauti nikimaanisha kuna ya ngozi na vitambaa na pia kuna mikubwa na midogo,kwa hapa Tanzania mikoba hii haijabebwa Sana haswa na watu maarufu kuifanya ijulikane zaidi lakini tegemeo la wabunifu wengi,wanamitindo na wafatiliaji na wapenda mitindo tunategemea kuiona mwaka huu 2016 mpaka mwaka 2017 kwa watu wa aina tofauti ikilengwa zaidi kwa wanawake.Mikoba hii inauwezo wakubeba vitu vingi zaidi na no imara kwa jinsi ilivyotengenezwa na kuvalia kwa nguo yoyote ile na mahali popote pale ila kwa kuzingatia rangi mahali unapoenda na ukubwa wa mkoba wenyewe

No comments:

Post a Comment

Content Copyright © 2016 by Flaviana Maguha All rights reserved.