JINSI YAKUBANA NYWELE HALISI, KUTENGENEZA MAWIMBI (NATURAL HAIR)

Kubana nywele kuna kazi haswa kwa wale wenye nywele nyingi, nitaeleza hatua kwa hatua jinsi ya kuzifanya ziwe na mwonekano mzuri na kubana kwa urahisi zaidi. kwanza, zichane nywele zote vizuri mpaka zilainike.Mbili,zigawe mara tatu yaani Kama unabana mabutu (funga na vibanio).Tatu,chukua fundo moja peleka nyuma au hata Kati inategemea na staili unayobana(nyuma,Kati au pembeni).Nne malizia na lile...
SOMA

RASTA ZA NJIA TATU AU MBILI (BRAIDS)

Nywele hizi husukwa kwa kutumia rasta, kwa urefu wowote mtu atakaopenda lakini pia na rangi utakayo chagua mwenyewe.Hutengeneza muonekano mzuri na unaweza kwenda nazo mahali popote pale ni jinsi tu utakavyo zibana,jambo muhimu la kuzingatia unaposuka rasta hizi kwanza, hakikisha msusi wako asizishike nywele za mbele kabisa(malikia) wakati wa kusuka zitasababisha kukatika kwa nywele za mbele lakini...
SOMA

AINA ZA NGONZI NA MATUNZO YAKE

Kuna aina nne za ngozi (muonekano) kwa jinsia zote mbili yani kike na kiume.Aina zote hizi zinaitaji matunzo tofauti tofauti kulingana na mtu mwenyewe, unaweza fanya mwenyewe au Kama una uwezo zaidi kwenda kufanyiwa sehemu maalum Kama saloon.Tukumbuke pia kwenye matumizi ya vitu Kama mafuta na losheni( lotion) za mwili ni muhimu kuzingatia una ngozi ya aina gani na hata bidhaa zenyewe huwa zimeelezwa...
SOMA

JINSI YAKUJIFUNGA KIREMBA CHA MDUARA NA HIJABU KWA NJIA YA PICHA

...
SOMA

BUCKET BAGS/MIKOBA AINA YA NDOO

Mansur Gabriel's ndo mbunifu wa mikoba aina hii,mikoba hii imekaa Kama ndoo yani muonekano wake Kama ndoo na ipo tofauti kabisa na aina nyingine nyingi za mikoba tuliyoizoea. Mikoba hii ipo ya aina tofauti na ukubwa tofauti nikimaanisha kuna ya ngozi na vitambaa na pia kuna mikubwa na midogo,kwa hapa Tanzania mikoba hii haijabebwa Sana haswa na watu maarufu kuifanya ijulikane zaidi lakini tegemeo...
SOMA

NYWELE ZA AFRO

Afro ni nywele maarufu zenye muonekano wa kiafrika zaidi, nikimaanisha kuwa waafrika ndo wenye nywele za aina hizi tofauti na watu wa bara la ulaya yani wazungu,nywele hizi hua zinamwonekano wa kujaa zaidi zipo ndefu na fupi pia yani zenye urefu wa kawaida tu,vile vile nywele hizi zipo za kushonea kwa wale ambao hawana aina hii ya nywele lakini pia kuna baadhi ya watu wananywele hizi halisia kabisa...
SOMA

NGUO ZA KUOGELEA KWA KINA DADA (SWIMING COSTUMES)

Hizi ni nguo maalum zakuogelea na kuendea sehemu za ufukwe nguo hizi mara nyingi huacha sehemu kubwa ya maumbile ya mwanamke wazi ila humfanya awe huru zaidi katika zoezi hilo vilevile hizi ni nguo ambazo maalum zimetengenezwa kwa ajili ya zoezi hilo. Nguo hizi zipo za aina tofauti tofauti zipo chupi na blazia zake na zipo za moja kwa moja kuanzia juu mpka chini yani iliyoungana.inategemea muhusika...
SOMA

Content Copyright © 2016 by Flaviana Maguha All rights reserved.