
Kubana nywele kuna kazi haswa kwa wale wenye nywele nyingi, nitaeleza hatua kwa hatua jinsi ya kuzifanya ziwe na mwonekano mzuri na kubana kwa urahisi zaidi. kwanza, zichane nywele zote vizuri mpaka zilainike.Mbili,zigawe mara tatu yaani Kama unabana mabutu (funga na vibanio).Tatu,chukua fundo moja peleka nyuma au hata Kati inategemea na staili unayobana(nyuma,Kati au pembeni).Nne malizia na lile...